Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

HABARI‬ MSANII H.BABA AUGUA GHAFLA NA KULAZWA!


Staa wa Bongo Fleva na Bongo Movies, Hamis Baba (H. Baba) ameugua ghafla jana baada ya kuanguka wakati akijiandaa kwenda kuaga mwili wa aliyekuwa muandaaji wa filamu za Kibongo, marehemu Geogre Otieno Tyson katika viwanja vya Leades, Kinondoni, Dar siku ya jana.
Kwa sasa amelazwa hospitalini, tutaendelea kukujulisha hali yake!
'Get well soon H. Baba'.
#HABARI MSANII H.BABA AUGUA GHAFLA NA KULAZWA!  Staa wa Bongo Fleva na Bongo Movies, Hamis Baba (H. Baba) ameugua ghafla jana baada ya kuanguka wakati akijiandaa kwenda kuaga mwili wa aliyekuwa muandaaji wa filamu za Kibongo, marehemu Geogre Otieno Tyson katika viwanja vya Leades, Kinondoni, Dar siku ya jana.  Kwa sasa amelazwa hospitalini, tutaendelea kukujulisha hali yake!  'Get well soon H. Baba'.
HAFLA NA KULAZWA!
Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana

Total Pageviews

Followers

Navigation-Menus (Do Not Edit Here!)

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.

www.CodeNirvana.in

Sponsor Ads close

Sponsor Ads


© Copyright T0T00
Back To Top