Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

HUU NDIO UCHAFU UNAOFANYIKA KATIKA BUNGE LA EAC..WABUNGE WA TZ WASHTUKA,,,


WABUNGE saba wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania, wamejiondoa kwenye jaribio la kutaka kumuondoa madarakani Spika wa Bunge hilo, Margareth Zziwa, baada ya kubaini kulikuwa na mchezo mchafu nyuma yake.
Walisema kuwa hoja hiyo haina maslahi ya Tanzania na iko kinyume na malengo ya ushirikiano ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
Wakizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, wabunge hao wakiongozwa na Mwenyekiti wao Adam Kimbisa, Katibu wao, Shy-Rose Bhanji na Mwanasheria, Twaha Taslima, walisema masilahi ya Tanzania ndiyo kipaumbele kwao.
Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana

Total Pageviews

Followers

Navigation-Menus (Do Not Edit Here!)

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.

www.CodeNirvana.in

Sponsor Ads close

Sponsor Ads


© Copyright T0T00
Back To Top