Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

JOTI NA LULU SASA WAANZA CHOKO CHOKO TAZAMA PICHA ZENYE UTATA NA KUZUA BALAA KWA MASHABIKI WAO


Kuna msemo mmoja wa waswahili husema, Panapofuka Moshimalizia mwenyewe______________ Mastaa hawa wawili wamekuwa wakizurura wenyewe kila mahali katika kusaka Vipaji na Team nzima ya TmT, sasa swali ni kwamba upigaji picha huu wa kila saa na kuzitumbukiza Insta

da kunanifanya nianze kuhizi kuna kitu kikubwa kinaendelea kati ya mastaa hawa wawili... Ok tuwe na subira kidogo inawezekana Joti aka replace nafasi ya Marhrmu Kanumba!!

Hiyo picha hapo juu ukitembelea Ac zao za Insta utaikuta wote wameiweka na kuzungumza vijimaneno tata kidogo, vikiashiria kuna kitu inaendelea kati yao!!!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana

Total Pageviews

Followers

Navigation-Menus (Do Not Edit Here!)

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.

www.CodeNirvana.in

Sponsor Ads close

Sponsor Ads


© Copyright T0T00
Back To Top