Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

kama ulipitwa..ni wakati wako sasa ...KITUO CHA DALADALA CHA MWENGE PAMOJA NA VIBANDA VYA PEMBENI VYABOMOLEWA



Hivi ndivyo kituo cha Daladala cha Mwenge kilivyo bomolewa asubuhi ya leo

Hiki kilikuwa Choo cha kulipia kilichokuwa Mwenge nacho kikiwa kimebomolewa

Ulinzi ukiwa umeimarishwa

Kazi ya Kubomoa na kuondoa vibanda ikiwa inaendelea Mwenge

Askari wa FFU akiwa anazuia watu wasipite eneo ambalo kulikuwa na kazi ya Bomoa bomoa ikiendelea

Mashuhuda wakiwa wanashuhudia ubomoaji ukiendelea

Hili lilikuwa eneo la kupumzikia zamani la Abiria kungoja usafiri nacho kikiwa kimebomolewa

Mabaki ya Vibanda

Mmoja wa Mgambo akiwa amebeba Meza kupeleka eneo husika Tayari kwa kuzikusanya kuzipeleka eneo husika

Kazi ya Ubebaji Meza na Mabaki ya Vibanda ikiendelea

Mashuhuda wakiongezeka

Moja ya eneo ndani ya Mwenge walipo hifadhi baadhi ya Meza za Biashara




Bomoa Bomoa ikiendelea upande wa Juu Mwenge

Hapa walikuwa wanabomoa Sehemu zote za vibanda zilivyo zidi mbele

Mgambo anafanya kazi bila Air Mask wakati kazi inaendelea ya Bomoa bomoa

Mashuhuda upande wa Juu Mwenge

Ulinzi ukiwa umeimarishwa kila sehemu


Hapa ilitaka kutokea Shoti ya Umeme Baada ya gari la kubomoa kupita sehemu ambayo kuna waya wa umeme, TANESCO hawajazima umeme eneo hilo jambo ambalo ni Hatarishi.

Hali Halisi baada ya eneo hilo kubomolewa
Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana

Total Pageviews

Followers

Navigation-Menus (Do Not Edit Here!)

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.

www.CodeNirvana.in

Sponsor Ads close

Sponsor Ads


© Copyright T0T00
Back To Top