Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

KWELI MAISHA YAMEKABA... POLISI FEKI WAKAMATWA! ona picha hapa



Brazil Nyakunga (kulia) ambaye ni mwalimu akiwa na sare za polisi na katikati ni bosi wake Goodluck Mbehale (mwenye shati la kitenge), wamekamatwa mkoani Iringa, kwa kufanya utapeli, wakijidai wao ni Askari.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhan Mungi amesema maaskari hao feki, wamekuwa wakiwatapeli wakazi wa Mikoa ya Morogoro, Iringa na maeneo ya jirani.
#HABARI POLISI FEKI WAKAMATWA!  Brazil Nyakunga (kulia) ambaye ni mwalimu akiwa na sare za polisi na katikati ni bosi wake Goodluck Mbehale (mwenye shati la kitenge), wamekamatwa mkoani Iringa, kwa kufanya utapeli, wakijidai wao ni Askari.  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhan Mungi amesema maaskari hao feki, wamekuwa wakiwatapeli wakazi wa Mikoa ya Morogoro, Iringa na maeneo ya jirani.
Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana

Total Pageviews

Followers

Navigation-Menus (Do Not Edit Here!)

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.

www.CodeNirvana.in

Sponsor Ads close

Sponsor Ads


© Copyright T0T00
Back To Top