Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

BINTI WA DARASA LA SABA AKURUPUSHWA GUEST KAMA ALIVYO ..HABARI KAMILI HAPA


Askari wa jeshi la polisi na wasamaria wema wakiwa wamemdhibti binti anayedaiwa kuwa ni mwanafunzi wa darasa la saba moja ya shule ya msingi Manispaa ya Morogoro, binti huyo anadaiwa  kukurupushwa katika moja ya nyumba ya kulala wageni eneo la Mawenzi wakati akipelekwa kituo kidogo cha polisi. Kwa kile kinachodaiwa kujihusisha na mapenzi na masomo.
Wasamalia wema wakiwa wamemdhibti binti anayedaiwa kuwa ni mwanafunzi wa darasa la saba Manispaa ya Morogoro baada ya kumnusuru na kipigo kutoka kwa kundi la wananchi wenye hasira waliotaka kufuatia binti huyu kudaiwa kukurupushwa katika moja ya nyumba ya kulala wageni eneo la Mawenzi mkoani Morogoro.

















Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana

Total Pageviews

Followers

Navigation-Menus (Do Not Edit Here!)

Contact Form

Name

Email *

Message *

Business

Powered by Blogger.

www.CodeNirvana.in

Sponsor Ads close

Sponsor Ads


Gagdet

© Copyright 2025 T0T00 | Designed By Code Nirvana
Back To Top