Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

MANUEL PELLEGRINI APIGA CHINI OFA YA KUMRITHI LUIZ FELIPE SCOLARI KUINOA BRAZIL

article-0-1F9CCE6200000578-622_634x455
Hajavutiwa: Manuel Pellegrini ameipiga chini ofa ya kurithi mikoba ya Luiz Felipe Scolari .
 
KOCHA wa Manchester City, Manuel Pellegrini amekataa ofa ya kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya Brazil, kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari vya Chile.
Inaelezwa kuwa Pellegrini alifuatwa wakati wa mechi ya fainali ya kombe la dunia siku ya jumapili, saa 24 kabla ya Luiz Felipe Scolari kuachishwa kazi kutokana na matokeo mabaya ya Brazil katika mashindano hayo yaliyofanyika katika ardhi yake.
Brazil ilifungwa mabao 7-1 katika mchezo wa nusu fainali na Ujerumani na ikafungwa mabao 3-0 dhidi ya Uholanzi kwenye mechi ya kutafuta mshindi wa tatu.
Ingawa inasemekana kuwa Pellegrini amegoma kuingia katika makubaliano na shirikisho la soka nchini Brazil, amesisitiza kuwa anahitaji kuona miaka yake yake mitatu iliyosalia katika mkataba wake ndani ya dimba la Etihad.
 Successful: Pellegrini won the Premier League title and Capital One Cup in his first season in charge at City
Pellegrini na kikosi chake wapo katika mazoezi ya wiki moja,  St Andrews nchini Scotland kabla ya kucheza mechi yao ya pili ya kujipima ubavu dhidi ya Hearts siku ya ijumaa.
Naye mkurugenzi wa michezo, Txiki Begiristain inasemekana  anatakiwa, japokuwa haijawekwa wazi kama tayari ameshafuatwa na Brazil kwa mazungumzo.
Out of a job: Scolari's contract was not renewed with Brazil after they finished fourth at the 2014 World Cup
Defeated: Scolari's reign ended  in dismay with emphatic losses to Brazil and Holland
Popular figure: Pellegrini is well liked by Man City's star-studded playing squad
Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana

Total Pageviews

Followers

Navigation-Menus (Do Not Edit Here!)

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.

www.CodeNirvana.in

Sponsor Ads close

Sponsor Ads


© Copyright T0T00
Back To Top