Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

PICHA 4 ZA AIBU ZA HAWA WADADA:POMBE YAWAADHILI NDANI YA CLUB KWA KUFANYA VTENDO VYA KINGONO

Warembo wawili ambao majina yao hayakuweza kupatikana mara moja wakazi wa jijini Dar es Salaam,  hivi karibuni walinaswa wakifanya vitendo vya kifirauni hadharani bila kuhofia umati wa watu uliokuwa ukiwatazama.
Tukio hilo la aibu lilinaswa na paparazi wetu ndani ya Ukumbi wa Hoteli ya Travertine uliopo Magomeni jijini Dar es Salaam ambapo kundi jipya la New Five Stars lilikuwa likizinduliwa.

Kama hiyo haitoshi, demu huyo‘ alifikia hatua ya ‘kumchojoa’ mwenzake kitendo kilichowafanya watu waliokuwa wakiwakodolea macho kupigwa na butwaa.
  Hapo akimzaba kakofi kwa nyuma.
“Jamani dunia imekwisha, hawa akina dada wanafanya mambo gani haya mbele za watu? Hii yote pombe, ama kweli pombe si chai,” alisikika dada mmoja akimwambia rafiki yake
Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana

Total Pageviews

Followers

Navigation-Menus (Do Not Edit Here!)

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.

www.CodeNirvana.in

Sponsor Ads close

Sponsor Ads


© Copyright T0T00
Back To Top