Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Shilole akiri kutotumia Condom kwenye Mapenzi...NI SHEEEDAH

nuhu
 
Akizungumza  na  Mpekuzi  wetu, Shilole  alisema  kuwa  raha  ya  mapenzi  ni  kila  mmoja  kuwa  na  mwenzake  bila  kuwa  na  kizuizi  chenya  kuondoa  ladha  hiyo  na  baada  ya  kupima  kila  mmoja  ameapa  kutochepuka  ili  asilite  maambukizi  ndani  ya  uhusiano  wao….
SHILOLE
 
“Asikudanganye  mtu, raha  ya  kula  ndizi  ni  kula  ikiwa  imemenywa, ikiwa  na  maganda  inaondoa  utamu  ndio  maaa  mimi  na  mwenzangu  tulilazimika  kwenda  kupima  afya  zetu  na  kila  mmoja  alibainika  ni  mzima hivyo  tumeahidiana  kutosalitiana  ili  tusileteane  maambukizi”,alisea  Shilole.
Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana

Total Pageviews

Followers

Navigation-Menus (Do Not Edit Here!)

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.

www.CodeNirvana.in

Sponsor Ads close

Sponsor Ads


© Copyright T0T00
Back To Top