Loading...
Home » Unlabelled » MAJONZI,SIMANZI NA VILIO...MBUNGE WA MBEYA MJINI SUGU AKILIA KWA UCHUNGU BAADA YA KUFI..............
MAJONZI,SIMANZI NA VILIO...MBUNGE WA MBEYA MJINI SUGU AKILIA KWA UCHUNGU BAADA YA KUFI..............
Amri hiyo ya naibu spika, ya kumtoa nje bwana Mbowe ilikuja mara baada ya Kiongozi huyo wa Upinzani bungeni kukataa kutii mamlaka ya kiti ya kukaa chini ili kupisha mjadala wa muswaada wa sheria ya marekebisho ya sheria ya mabadiliko ya katiba wa mwaka 2013, uendelee .
Kutokea kwa tafrani hiyo kulitokana na mbunge wa Mkoani, Bw. Ali Khamis Seif kuomba muongozo wa spika, akitaka hoja iliyokuwa mbele ya bunge ya kujadili muswada wa marekebisho ya sheria ya mabadiliko ya katiba iahirishwe, na Naibu Spika kuamua kuitisha kura ambapo wabunge wasiounga mkono mjadala huo uahirishwe wakiwa wengi kutoka chama tawala CCM, walishinda.
Total Pageviews
About Me
Followers
Navigation-Menus (Do Not Edit Here!)
Contact Form
Powered by Blogger.
www.CodeNirvana.in
Sponsor Ads
Post a Comment