Bila shaka mu wazima nyote..
Nizidi kuwashukuru watanzania wenzangu na mashabiki wangu wote kokote Duniani kwa sapoti kubwa mnayonipa, hususani kwenye michakato ya kuvote kwenye Tuzo ninazowania,leo napenda niwape ama niwakumbushe jinsi ya kuniwezesha nishinde ,tuzo kubwa kabisa Duniani ya BET..
Tafuta BET AWARDS like hiyo page then kwa kila post inayonihusu ama post yoyote wanayoweka ,we coment kwa kumention Jina langu Diamond Platnumz ... Pia click link hii chini then coment kwa kumention jina langu
https://www.facebook.com/TheBETAwards/photos/a.93533534412.84145.13249279412/10152443375924413/?type=3&theater
Nizidi kuwashukuru watanzania wenzangu na mashabiki wangu wote kokote Duniani kwa sapoti kubwa mnayonipa, hususani kwenye michakato ya kuvote kwenye Tuzo ninazowania,leo napenda niwape ama niwakumbushe jinsi ya kuniwezesha nishinde ,tuzo kubwa kabisa Duniani ya BET..
Tafuta BET AWARDS like hiyo page then kwa kila post inayonihusu ama post yoyote wanayoweka ,we coment kwa kumention Jina langu Diamond Platnumz ... Pia click link hii chini then coment kwa kumention jina langu
https://www.facebook.com/TheBETAwards/photos/a.93533534412.84145.13249279412/10152443375924413/?type=3&theater
NA HII LINK CHINI ,COMENT KWA KUMENTION JINA LANGU NA NYIMBO YANGU UIPENDAYO
https://www.facebook.com/TheBETAwards/photos/a.93533534412.84145.13249279412/10152471402124413/?type=1&theater
KWA PAMOJA TUUNGANE,HESHIMA IJE TANZANIA ..NAWAPENDA NYOTE.
https://www.facebook.com/TheBETAwards/photos/a.93533534412.84145.13249279412/10152471402124413/?type=1&theater
KWA PAMOJA TUUNGANE,HESHIMA IJE TANZANIA ..NAWAPENDA NYOTE.
Post a Comment