TAFADHARI MSINIONEE KINYAA HUU ULIMI NI WA BINADAMU MWENZENU MWENYE MATESO MAKUBWA.
Habari zenu wa ungwana? naitwa JONATHAN MSANGI nipo hospital ya ocean road yapata miaka 7 sasa lakini kwangu ni kama miaka elfu sabini kwani mateso ninayo yapata naomba hata leo iwe zamu yangu ya kutangulia mbele za haki, Kinacho nisumbua mimi ni ugonjwa wa kansa kama unavyo ona ulimi wangu hapo chini samahani kama nimekutia kinyaa ila kumbuka mimi ni bina damu mwenzako na kabla hujafa hujaumbika na hujui umepangiwa nini hapa duniani, mimi binafsi nilikua mzima wa afya ila tangu niugue ugonjwa huu wa kansa sasa ni mwaka wa 7 nakula chakula kwa mirija kwani ulimi wangu na kinywa vimeharibika sana ni mateso makubwa ninayo yapata ila napigagoti mbele za Mungu na mbele zenu mimi pekeangu nishaomba sana kwa m/Mungu bila mafanikio yoyote,
Habari zenu wa ungwana? naitwa JONATHAN MSANGI nipo hospital ya ocean road yapata miaka 7 sasa lakini kwangu ni kama miaka elfu sabini kwani mateso ninayo yapata naomba hata leo iwe zamu yangu ya kutangulia mbele za haki, Kinacho nisumbua mimi ni ugonjwa wa kansa kama unavyo ona ulimi wangu hapo chini samahani kama nimekutia kinyaa ila kumbuka mimi ni bina damu mwenzako na kabla hujafa hujaumbika na hujui umepangiwa nini hapa duniani, mimi binafsi nilikua mzima wa afya ila tangu niugue ugonjwa huu wa kansa sasa ni mwaka wa 7 nakula chakula kwa mirija kwani ulimi wangu na kinywa vimeharibika sana ni mateso makubwa ninayo yapata ila napigagoti mbele za Mungu na mbele zenu mimi pekeangu nishaomba sana kwa m/Mungu bila mafanikio yoyote,

Post a Comment