mke: Mbona hawa Brazil hawamchezeshi
Neymar ??
Mme: aliumia mechi iliyopita, hawezi
kucheza
mke: mbona hawajamkodi MESSI??
Mme: hairuhusiwi kukodi..
mke: kwann asihamie Brazili?,..
mme: izo sio nyumba za kupanga kwamba
anahamia tu,mpaka uwe una uraia wa
Nchi yako.
Mke: mbona hadi wanawake wanacheza
umo uwanjani?
Mme :wapo wapi hao wanawake?
mke: si hao wa Brazil wenye nywele
ndefu?
Mme: hapana hao ni Wanaume,mmoja
anaitwa David Luiz,na huyo mwingine
WILLIUM
mke: Mbona hao wengine wanapiga Penalty
tano wenyewe?eti Refa anapendelea?
mme: hakuna Penalty hapo ni magoli,Brazil
wamezidiwa wanafungwa..
mke: Eti mbona Goli 7 ni nyingi na ni Dk ya
80, kwann refa hamalizii tu hapo si bingwa alishajulikana.
mme: sheria ya mpira mpaka Dk 90 zitimie..
mke: Huu si mpira wa miguu??
mme: Ndio we,nyie mnaonaje?
mke: mbona huyo mwingine anadaka na
mikono?
Mme: huyo ni kipa
mke: kwann huyu Kipa wa Brazil asikimbie
na mpira adi goli jingine alafu afunge
apunguze magoli au hajui huo ujanja?
Mme: kanyonyeshe mtoto ameamka...
Neymar ??
Mme: aliumia mechi iliyopita, hawezi
kucheza
mke: mbona hawajamkodi MESSI??
Mme: hairuhusiwi kukodi..
mke: kwann asihamie Brazili?,..
mme: izo sio nyumba za kupanga kwamba
anahamia tu,mpaka uwe una uraia wa
Nchi yako.
Mke: mbona hadi wanawake wanacheza
umo uwanjani?
Mme :wapo wapi hao wanawake?
mke: si hao wa Brazil wenye nywele
ndefu?
Mme: hapana hao ni Wanaume,mmoja
anaitwa David Luiz,na huyo mwingine
WILLIUM
mke: Mbona hao wengine wanapiga Penalty
tano wenyewe?eti Refa anapendelea?
mme: hakuna Penalty hapo ni magoli,Brazil
wamezidiwa wanafungwa..
mke: Eti mbona Goli 7 ni nyingi na ni Dk ya
80, kwann refa hamalizii tu hapo si bingwa alishajulikana.
mme: sheria ya mpira mpaka Dk 90 zitimie..
mke: Huu si mpira wa miguu??
mme: Ndio we,nyie mnaonaje?
mke: mbona huyo mwingine anadaka na
mikono?
Mme: huyo ni kipa
mke: kwann huyu Kipa wa Brazil asikimbie
na mpira adi goli jingine alafu afunge
apunguze magoli au hajui huo ujanja?
Mme: kanyonyeshe mtoto ameamka...
Post a Comment