Mwalimu mgeni aliingia darasani
kwa mara ya kwanza na kuchora moyo
ubaoni,kwa vile hakuwa mchoraji
mzuri,ule moyo ulioneka ivi ivi tu.
Kwa kujiamini akauliza wanafunzi
"nimechora nini?"
Mwanafunzi wa kwanza:Mat.a.ko
Mwanafunzi wapili:Umechora mat.a.ko mwalimu
Wanafunzi wa tatu:Kweli haya ni mat.a.ko
kabisaaaah!
Mwalimu kwa hasira
akaenda kumuita mkuu wa
shule kwa madai ya
wanafunzi kufanya mzaha
darasani
Mkuu wa shule:Kwanini mnamfanyia
mwalimu mzaha?
Wanafunzi:Hatuja fanya mzaha
Mkuu wa shule:Kama hamjafanya mzaha
nani amechora mat.ako ubaoni?
kwa mara ya kwanza na kuchora moyo
ubaoni,kwa vile hakuwa mchoraji
mzuri,ule moyo ulioneka ivi ivi tu.
Kwa kujiamini akauliza wanafunzi
"nimechora nini?"
Mwanafunzi wa kwanza:Mat.a.ko
Mwanafunzi wapili:Umechora mat.a.ko mwalimu
Wanafunzi wa tatu:Kweli haya ni mat.a.ko
kabisaaaah!
Mwalimu kwa hasira
akaenda kumuita mkuu wa
shule kwa madai ya
wanafunzi kufanya mzaha
darasani
Mkuu wa shule:Kwanini mnamfanyia
mwalimu mzaha?
Wanafunzi:Hatuja fanya mzaha
Mkuu wa shule:Kama hamjafanya mzaha
nani amechora mat.ako ubaoni?
Post a Comment