Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

KENYA: ATAKAYEKAMATWA NA PICHA ZA UCHI, NGONO FAINI DOLA 5OO

Mtangazaji Diva ambaye ni mmoja kati ya wanapiga picha za nusu utupu na kuziweka kwenye mitandao ya kijamii.
Mtangazaji Diva ambaye ni mmoja kati ya wanapiga picha za nusu utupu na kuziweka kwenye mitandao ya kijamii.
Nchini Kenya utaratibu mpya umewekwa kudhibiti kuenea kwa picha za ngono, uchi ambapo ukikamatwa unafungwa jela miezi mitatu, faini ya shilingi elfu hamsini za Kenya, au dola mia tano na themanini na nane.
Kwa upande wa Afisa mkuu kutoka tume ya kitaifa ya mawasiliano, Christopher Wambua, ameambia vyombo vya habari nchini humo kwamba watu wenye tabia hiyo ya kutuma ujumbe wa kingono pamoja na picha zenye watu walio uchi nao sheria itachukua mkondo wake.
Serikali nchini Kenya imeamua kuchua hatua hiyo kutokana na kuenea kwa matumizi ya simu za intanet ambapo watu hutumiana picha hizo kupitia miatandao ya kijamii
Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana

Total Pageviews

Followers

Navigation-Menus (Do Not Edit Here!)

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.

www.CodeNirvana.in

Sponsor Ads close

Sponsor Ads


© Copyright T0T00
Back To Top