Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Mkali wa Bongo Flava Diamond Platnumz wakishirikiana na Mziiki

IMG_7853
Mkali wa Bongo Flava Tanzania  Diamond Platnumz amepewa nafasi ya  kushirikiana na Mziiki kama  Brand Partner. Msanii huyu ambaye amefanikiwa kushinda  tuzo  mbalimbali amekuwa wa   kwanza kutia saini  kama Brand Partner na tayari ni mmoja wa mamia ya wasanii pekee wa Afrika walio  katika program ya muziki unaopendwa zaidi Afrika kupitia simu za kiganjani pamoja na kuwa mwakilishi wa bidhaa hiyo akiwakilisha nchi yake.
“Tunafurahi kwamba Diamond Platnumz kwa sasa ni  Brand Partner wa Mziiki,” anasema  Arun Nagar, Mkurugenzi Mtendaji wa Spice VAS Africa, watengenezaji wa Mziiki. “Kwa  kushirikiana na msanii mwenye kiwango kama  Diamond pamoja na mashabiki wake ni  hatua nzuri kwa Mziiki. Ushirikiano  kama huu unaonyesha dhamira yetu ili kuendelea kuhakikisha kwamba watumiaji wetu na muziki bora wa Afrika unawafikia pale walipo  na tutaweza kufanya kazi karibu na Diamond na kupanua wigo wa wateja wetu na kuwapatia  mashabiki wake  zaidi ya kile walichotarajia. Nadhani pia ni ushahidi wa ukweli kwamba sisi tumechukua nafasi kubwa katika ulimwengu wa muziki streaming na wapenzi wa muziki wa Afrika wanapaswa  kukumbuka hilo. ”
Partnership between Bongo flava super star and music streaming app Mziiki.  Diamond shakes hands with Arun Nagar CEO for Spice VAS Africa creators of Mziiki.
Partnership between Bongo flava super star and music streaming app Mziiki.  Diamond shakes hands with Arun Nagar CEO for Spice VAS Africa creators of Mziiki.
Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana

Total Pageviews

Followers

Navigation-Menus (Do Not Edit Here!)

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.

www.CodeNirvana.in

Sponsor Ads close

Sponsor Ads


© Copyright T0T00
Back To Top