Kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM mwanamama huyo ambae kwasasa anatamba na SONGI la CHUNA BUZI (kazi kweli kweli) aliweka picha amabayo inaonyesha akivalishwa VIATU na Mpenzi wake na kuandia "Kupendwa Rahaa"
Kama kawa Followers wake wakaanza KUKOMENTI...Trend ya comments nyingi zilionyesha kuunga mkono kitendo hicho.....Sasa ni zamu yako mdau ....Sema chochote hapa
Post a Comment